<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/"
		>
<channel>
	<title>Comments for Haki Sawa kwa Wote</title>
	<atom:link href="http://hakinaumma.wordpress.com/comments/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://hakinaumma.wordpress.com</link>
	<description>Kurugenzi ya Uenezi na Mahusiano na Umma</description>
	<lastBuildDate>Wed, 04 Nov 2009 22:23:46 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.com/</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>Comment on Zanzibar: Tusipoziba ufa tutajenga ukuta by Mzee Mbwana</title>
		<link>http://hakinaumma.wordpress.com/2009/10/03/zanzibar-tusipoziba-ufa-tutajenga-ukuta/#comment-253</link>
		<dc:creator>Mzee Mbwana</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 04 Nov 2009 22:23:46 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://hakinaumma.wordpress.com/2009/10/03/zanzibar-tusipoziba-ufa-tutajenga-ukuta/#comment-253</guid>
		<description>Ahsante Visram. Tanzania inaishi kii Ali Nacha nakudhani siku zote watakaa ndani ya miaka 5 wafanye watakavyo ikifika uchaguzi kuelewa fika hawatachaguliwa na hapo tena kila mbinu za Ghilba kuchukuliwa pamoja na kutumia nguvu za Dola.
Prediction yangu mie ya waziwazi nikusema Tanzania itakuja kuwa Angola, Liberia, Sierealeone watu watachoka nakusema sasa liwe lakuwa.

Zanzibar ni udhalimu na uharamia ndio unaoendlea na Marekani na wenzake ikiwa Uiengereza na Serikali za Magharibi kwakhofu zao za kipumbavu wao watayaachia haya, lakini watakuja juta pale mambo yakararuka na kubakia uchi. Seif Shariffu na CUF wameshawaweza lakini hiyo sio kumaliza dhuluma, kutatokea kina Lakama, Fodi Sanko au kina Alshabab nakuanza vurugu la kwelikweli. Angalieni Mabomu yanavyoripuka Pakistan na Afghanistan hayo yametokea wapi? Hayatoweza kufika Bara na Zanzibar, hayatoweza kuripuliwa na wale watakaokuja kusema sasa bora kufa kuliko kuishi.

Mwalimu Nyerere watu humkumbuka kwa lile linalomvuta mie Nyerere namkumbuka alivyowatoa shoti Kikwete na Lowasa hakika Kikwete bado hajawa kiongozi, ikiwa Elvis Presley sawa au Amita Bachan kuvaa leo Jacket, kisha hati. Nchi hii ipo kwenye Msukosuko awakumbuke kina Samora, Amica Cabral, Mzee Seke Toure awache bobish. Kidagaa hakitooza mikononi mwa yoyote yule isipokuwa ni yeye na mtandao na kina Yussuk Kamba hapana Makamba. Wapi Mangula na Makamba ni dhahiri uwezo wake hata wakufikiri ni mduchu na ndio maana mara Dowans, IPTL huu, waaa, wuuu. Kwa Ban Kin Moon anakuja na maeneno ya kichale juu ya Zanzibar anaingia Tanzania anasema mengine.

Nawatahadharisha wa Bara na Zanzibar yatakuja kuwa koliko ya India na Srilanka oneeni ukweli na Uharamia wa CCM-Zanzibar sio kuiba kura bali hata kuwakataa Raia zake, jamani mtakuja kulia kilio cha Mbwakoko. 

Leo Zanzibar inakuwa na waziri Hamza asiojua Historia anachojua ni kusema ovyo. Anaijua USA na Zanzibar? Anamjua Caluci? Anamjua Don Peterson? Yupo kuropokwa na kuonyesha kuwa yeye sio aliokuwa mshoni wa Janjaweed sasa ni kiongozi. Wapi Zanzibar itakwenda pale kwenye brains za babu, Twala, Athumani Sahrif, Ali Muhsin kutokuweko leo kuburuzana na kina Hamza.

Tujuwe Westerners program yao imeshadumu miaka 40 kuelekea 50 kuifisidi Zanzibar kama ya Philipines lakini ya baada ya hapo kuanzi kwenda 50 tukiwa hai basi vumbi lake halitoshikika kwa wazanzibari kuitaka haki yao ya kwelikweli na kuondokana na ukoloni wa kibara ambao wapo tayari kuwachia watawala wa zanzibar wajifanyie kila la unyama lakini waendelee kubakia kwenye madarak, na kusikia kauli za kina Membe na kina Wangazija koko kina Saidi Mwema sijui kama anajua jamaa zake wa Zanzibar wanaambiwa kuwa sio makwao hapa, nmwambia ajue na yeye siku yake haiko mbali na salamu tutazifikisha kwa Mtikila. Saa hatutoweza kuirudisha nyuma (lenini) lakini Mapinduzi ni mabadiliko na yatatokea Zanzibar na Tanganyika ni wakati tu ndio ni muamuzi.

wazanzibari enedeleeni kupiganuia haki na kina Sefu achaneni nao, kila mtu kwasasa afikirie ukombozi, Mwamsho, Hizbul Tahriri, viajana wa kijiweni, upanga kila kikundi kipigane kwa mbinu zake na mwisho mie nitasema tuataeleka kwa kina Alshabab na hapo ndipo watajuwa wakuu wa bara wamefanikisha.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ahsante Visram. Tanzania inaishi kii Ali Nacha nakudhani siku zote watakaa ndani ya miaka 5 wafanye watakavyo ikifika uchaguzi kuelewa fika hawatachaguliwa na hapo tena kila mbinu za Ghilba kuchukuliwa pamoja na kutumia nguvu za Dola.<br />
Prediction yangu mie ya waziwazi nikusema Tanzania itakuja kuwa Angola, Liberia, Sierealeone watu watachoka nakusema sasa liwe lakuwa.</p>
<p>Zanzibar ni udhalimu na uharamia ndio unaoendlea na Marekani na wenzake ikiwa Uiengereza na Serikali za Magharibi kwakhofu zao za kipumbavu wao watayaachia haya, lakini watakuja juta pale mambo yakararuka na kubakia uchi. Seif Shariffu na CUF wameshawaweza lakini hiyo sio kumaliza dhuluma, kutatokea kina Lakama, Fodi Sanko au kina Alshabab nakuanza vurugu la kwelikweli. Angalieni Mabomu yanavyoripuka Pakistan na Afghanistan hayo yametokea wapi? Hayatoweza kufika Bara na Zanzibar, hayatoweza kuripuliwa na wale watakaokuja kusema sasa bora kufa kuliko kuishi.</p>
<p>Mwalimu Nyerere watu humkumbuka kwa lile linalomvuta mie Nyerere namkumbuka alivyowatoa shoti Kikwete na Lowasa hakika Kikwete bado hajawa kiongozi, ikiwa Elvis Presley sawa au Amita Bachan kuvaa leo Jacket, kisha hati. Nchi hii ipo kwenye Msukosuko awakumbuke kina Samora, Amica Cabral, Mzee Seke Toure awache bobish. Kidagaa hakitooza mikononi mwa yoyote yule isipokuwa ni yeye na mtandao na kina Yussuk Kamba hapana Makamba. Wapi Mangula na Makamba ni dhahiri uwezo wake hata wakufikiri ni mduchu na ndio maana mara Dowans, IPTL huu, waaa, wuuu. Kwa Ban Kin Moon anakuja na maeneno ya kichale juu ya Zanzibar anaingia Tanzania anasema mengine.</p>
<p>Nawatahadharisha wa Bara na Zanzibar yatakuja kuwa koliko ya India na Srilanka oneeni ukweli na Uharamia wa CCM-Zanzibar sio kuiba kura bali hata kuwakataa Raia zake, jamani mtakuja kulia kilio cha Mbwakoko. </p>
<p>Leo Zanzibar inakuwa na waziri Hamza asiojua Historia anachojua ni kusema ovyo. Anaijua USA na Zanzibar? Anamjua Caluci? Anamjua Don Peterson? Yupo kuropokwa na kuonyesha kuwa yeye sio aliokuwa mshoni wa Janjaweed sasa ni kiongozi. Wapi Zanzibar itakwenda pale kwenye brains za babu, Twala, Athumani Sahrif, Ali Muhsin kutokuweko leo kuburuzana na kina Hamza.</p>
<p>Tujuwe Westerners program yao imeshadumu miaka 40 kuelekea 50 kuifisidi Zanzibar kama ya Philipines lakini ya baada ya hapo kuanzi kwenda 50 tukiwa hai basi vumbi lake halitoshikika kwa wazanzibari kuitaka haki yao ya kwelikweli na kuondokana na ukoloni wa kibara ambao wapo tayari kuwachia watawala wa zanzibar wajifanyie kila la unyama lakini waendelee kubakia kwenye madarak, na kusikia kauli za kina Membe na kina Wangazija koko kina Saidi Mwema sijui kama anajua jamaa zake wa Zanzibar wanaambiwa kuwa sio makwao hapa, nmwambia ajue na yeye siku yake haiko mbali na salamu tutazifikisha kwa Mtikila. Saa hatutoweza kuirudisha nyuma (lenini) lakini Mapinduzi ni mabadiliko na yatatokea Zanzibar na Tanganyika ni wakati tu ndio ni muamuzi.</p>
<p>wazanzibari enedeleeni kupiganuia haki na kina Sefu achaneni nao, kila mtu kwasasa afikirie ukombozi, Mwamsho, Hizbul Tahriri, viajana wa kijiweni, upanga kila kikundi kipigane kwa mbinu zake na mwisho mie nitasema tuataeleka kwa kina Alshabab na hapo ndipo watajuwa wakuu wa bara wamefanikisha.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Comment on Mwandishi wa The Guardian akamatwa Z`bar by s. kimei</title>
		<link>http://hakinaumma.wordpress.com/2009/09/29/mwandishi-wa-the-guardian-akamatwa-zbar/#comment-252</link>
		<dc:creator>s. kimei</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 01 Nov 2009 09:01:14 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://hakinaumma.wordpress.com/2009/09/29/mwandishi-wa-the-guardian-akamatwa-zbar/#comment-252</guid>
		<description>YOUR DOING THE BEST</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>YOUR DOING THE BEST</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Comment on Mwandishi wa The Guardian akamatwa Z`bar by s. kimei</title>
		<link>http://hakinaumma.wordpress.com/2009/09/29/mwandishi-wa-the-guardian-akamatwa-zbar/#comment-251</link>
		<dc:creator>s. kimei</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 01 Nov 2009 09:00:38 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://hakinaumma.wordpress.com/2009/09/29/mwandishi-wa-the-guardian-akamatwa-zbar/#comment-251</guid>
		<description>MNAFANYA VIZURI</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>MNAFANYA VIZURI</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Comment on CUF Maoni by salehe</title>
		<link>http://hakinaumma.wordpress.com/maoni/#comment-250</link>
		<dc:creator>salehe</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 30 Oct 2009 20:06:38 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://hakinaumma.wordpress.com/?page_id=619#comment-250</guid>
		<description>hao majambazi kimtindo huo wa vitambulisho naona hatutowaweza maana hiyo ni njama yao ya kijambazi na kudhulumu wazanzibari haki zao hao wenyewe wanalijua kwamba cuf zanzibar ina ushindi mkubwa na hakuna asiyelijua hilo sasa kazi yao nikutumia dola nakutbandikia matatizo lkn yote twamuaachia allah iko siku yao. lkn tujitahidi wazanzibar na wanachama wote tuikomboe zaanzibar maana washaimaliza</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hao majambazi kimtindo huo wa vitambulisho naona hatutowaweza maana hiyo ni njama yao ya kijambazi na kudhulumu wazanzibari haki zao hao wenyewe wanalijua kwamba cuf zanzibar ina ushindi mkubwa na hakuna asiyelijua hilo sasa kazi yao nikutumia dola nakutbandikia matatizo lkn yote twamuaachia allah iko siku yao. lkn tujitahidi wazanzibar na wanachama wote tuikomboe zaanzibar maana washaimaliza</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>Comment on Vipi utaichangia CUF by zirppo</title>
		<link>http://hakinaumma.wordpress.com/2008/10/13/vipi-utaichangia-cuf/#comment-249</link>
		<dc:creator>zirppo</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 30 Oct 2009 19:34:49 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://hakinaumma.wordpress.com/?p=1693#comment-249</guid>
		<description>Nilikuwa napitiapitia makala fulani katika Weblog yetu nikakuta taarifa hii inayoeleza jinsi ya kuichangia CUF. Nilipobonyeza hapo nikagundua matamshi yanayoonyesha kuwa yalitolewa na ZIRPPO; yaani Taasisi yetu, yanayoituhumu CUF kuwa ni &quot;wababaishaji......&quot; na kadhalika. Kusema kweli, nimeshangazwa sana na kauli hii kwa sababu haikutolewa na ZIRPP. Kwa mujibu wa katiba ya ZIRPP, Taasisi yetu haijafungamana na chama chochote kile cha kisiasa na kwa hivyo haiwezi kabisa kutoka kauli kama hiyo. Kwa hivyo, nimelazimika kuweka hili sawa kwa madhumuni ya kuondoa dhana yoyote ile iliyopo miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CUF juu ya msimamo wa ZIRPP katika suala hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa kunifahamu vyema. Muhammad Yussuf, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, ZIRPP.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nilikuwa napitiapitia makala fulani katika Weblog yetu nikakuta taarifa hii inayoeleza jinsi ya kuichangia CUF. Nilipobonyeza hapo nikagundua matamshi yanayoonyesha kuwa yalitolewa na ZIRPPO; yaani Taasisi yetu, yanayoituhumu CUF kuwa ni &#8220;wababaishaji&#8230;&#8230;&#8221; na kadhalika. Kusema kweli, nimeshangazwa sana na kauli hii kwa sababu haikutolewa na ZIRPP. Kwa mujibu wa katiba ya ZIRPP, Taasisi yetu haijafungamana na chama chochote kile cha kisiasa na kwa hivyo haiwezi kabisa kutoka kauli kama hiyo. Kwa hivyo, nimelazimika kuweka hili sawa kwa madhumuni ya kuondoa dhana yoyote ile iliyopo miongoni mwa viongozi na wafuasi wa CUF juu ya msimamo wa ZIRPP katika suala hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa kunifahamu vyema. Muhammad Yussuf, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, ZIRPP.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
