Wakati umefika kuzungumzia Ajenda ya Zanzibar

19 01 2012

KATIKA utamaduni wetu wa Kiswahili tuna usemi usemao: ‘Ukimstahi mke ndugu huzai naye.’ Staha na kuoneana haya ni miongoni mwa sifa za uungwana wetu. Hata hivyo, kuna nyakati ambapo huwa hatuna budi ila tuziweke kando sifa hizo ili tuweze kuambizana ukweli kwa madhumuni ya kujenga, si kubomowa. Read the rest of this entry »








Follow

Get every new post delivered to your Inbox.