Lazima SUK itafune jongoo kwa meno 2012

4 01 2012

Waandishi wa habari wakimskiliza Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani) alipozungumza nao kuhusu mwaka wake mmoja madarakani, Ikulu mjini Zanzibar.

KWA miezi miwili sasa kumekuwa kukishuhudia vikao vya serikali kujitathmini. Alianza kiongozi mkuu wa Zanzibar , Dk. Ali Mohamed Shein. Alikutana na waandishi wa habari waandamizi na kuwaeleza tathmini yake ya utendaji tangu ashike usukani wa kuiongoza nchi hii ya visiwa. Read the rest of this entry »








Follow

Get every new post delivered to your Inbox.