Kikwete mjenga nje mbomoa nyumbani

24 09 2008

 

Na Jabir Idrissa

 

NINA rais anayetajwa kwa umaarufu wake hadi Marekani ambako ameshafanya ziara mara sita – wastani wa safari moja kwa kila baada ya miezi mitatu – tangu Desemba 2005 alipoingia ikulu na kula, kunywa na kuteta na George W. Bush, kiongozi wa taifa hilo tajiri zaidi duniani. Read the rest of this entry »





CUF yaibwaga CCM

24 09 2008

Na Anna Makange, Tanga

 

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepata pigo baada ya wagombea wake wawili waliokuwa wakiwania udiwani katika Kata ya Ngamiani Kati na Chongoleani, wilayani hapa kubwagwa kwenye uchaguzi mdogo. Katika uchaguzi huo uliofanyika juzi, Chama cha Wananchi (CUF) kilipata ushindi kwa wagombea wake kuongoza katika kata zote mbili. Read the rest of this entry »