WANAWAKE
Wanawake wanafanya asilimia 51 ya idadi ya Watanzania. Hivyo, kuwawezesha wanawake kutapewa umbele na Serikali ya CUF.
Kasoro za Serikali ya CCM
- Baada ya miaka ya 40 ya utawala uliopo madarakani, wanawake bado wako nyuma kwa kila hali.
- Imeshindwa kuweka mfuko maalum kusaidia elimu ya juu kwa wanawake na kutetea hatua thabiti za kuongeza kuingizwa wanawake katika taasisi za masomo ya juu.
- Kuna uwakilishi mdogo wa wanawake katika vyombo vyote vya kutoa maamuzi ikiwa ni pamoja na Baraza la Wawakilishi Read the rest of this entry »
Maoni