Kwa nini CUF iliandamana Januari 2001: Hoja na Uhalali

11 09 2008

Pamoja na waandamaji kuonesha kila dalili ya amani, vyombo vya dola vilitumia nguvu kupita kiasi dhidi yao

Pamoja na waandamaji kuonesha kila dalili ya amani, vyombo vya dola vilitumia nguvu kupita kiasi dhidi yao

The Civic United Front (CUF – Chama cha Wananchi) kilikuwa na kila sababu ya kufanya maandamano yake Januari 27, 2001, na vyombo vya dola havikuwa na sababu yoyote ya kuwamiminia risasi waandamanaji wale walioandamana kwa amani. Hoja kuu, kuliko zote, inayoyafanya maandamano haya kuwa halali ni ukweli kwamba maandamano hayo yalikuwa yanalalamikia uharamu wa uchaguzi wa 2000: uendeshaji wake na matokeo yake. Kwa hivyo, maandamano haya yalikuwa haki na halali katika kiwango kile kile ambacho uchaguzi huo ulikuwa haramu na batili. Read the rest of this entry »





CUF mwenyeji mkutano Kiliberali Afrika

11 09 2008

The Civic United Front (CUF - Chama cha Wananchi)

The Civic United Front (CUF - Chama cha Wananchi)

Chama Cha Wananchi (CUF) kimepewa heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Vyama vya Siasa vya Kiliberali Afrika (Africa Liberal Network – ALN) ambao unafanyika Golden Tulip Hotel, mjini Dar es Salaam. Read the rest of this entry »





CUF kuandamana kushinikiza mafisadi epa kufikishwa kortini

11 09 2008

Na Kizitto Noya

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kitafanya maandamano nchi nzima kuishinikiza serikali iwafikishe mahakamani watuhumiwa wa ufisadi wa Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu ya Tanzania (EPA). Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba alitangaza maandamano hayo juzi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Temeke Mwisho jijini Dar es Salaam. Read the rest of this entry »





CUF yataka Muungano ujadiliwe upya

11 09 2008
Maalim Seif Shairf Hamad, Katibu Mkuu wa CUF

Maalim Seif Shairf Hamad, Katibu Mkuu wa CUF

  • Yasema mazingira yanalazimisha hivyo
  • Usiri wa muda mrefu umeongeza matatizo
  • Yaonya vitisho dhidi ya Wazanzibari havitafaulu

Na Ripota Wetu, Mauwa Mohammed, Zanzibar

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema Wazanzibari wanataka suala la Muungano wa Zanzibar na Tanganyika lijadiliwe upya kwa kuwa mkataba wake umegubikwa na mambo mengi yasiyokubaliwa na wananchi wengi. Read the rest of this entry »





Maalim fans flame on Union

11 09 2008

By Salma Said, Zanzibar

CUF General Secretary, Seif Sharif Hamad

CUF General Secretary, Seif Sharif Hamad

The debate on the status of Zanzibar in the Union has resurfaced again despite President Jakaya Kikwete’s speech in Parliament that was expected to put the issue to rest. Zanzibari elders from across the political divide held a public forum at the weekend to discuss Zanzibar’s status and the current setup of the Union. Read the rest of this entry »