Bunge la Bajeti la mara hii limemalizika mjini Dodoma Ijumaa iliyopita ya terehe 29 Agosti, 2008, huku likiwa limeiwacha nchi imejeruhika vibaya, hasa katika masuala ya Muungano, mahkama ya kadhi na kashafa ya EPA. Kuhusu Muungano, ambapo kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba Zanzibar si nchi ndiyo iliyochochea yote, hali ilikuwa ni ngumu na mbaya zaidi kwa kuwa wabunge waligawanyika baina ya Uzanzibari na Utanganyika. Wakati wa Zanzibar walipigania hadhi ya nchi yao ndani ya mipaka ya Muungano, wa Tanganyika walipigania kuidhibiti zaidi Zanzibar. Fuatilia sehemu ifuatayo ya majadiliano katika michango ya wabunge kwa Ofisi ya Makamo wa Rais (Muungano)…. Read the rest of this entry »
Bunge lamalizika kwa kishindo kizito cha Muungano
31 08 2008Comments : Leave a Comment »
Categories : Haki za Binaadamu

Maoni