CCM imedanganya – CUF

8 08 2008

Iliyokuwa timu ya CUF katika mazungumzo yake na CCM ikiongozwa na Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad, kuelekea ukumbi wa mikutano wa CUF, Buguruni, Dar es salaam, kuzungumza na waandishi wa habari juu ya msimamo wa CUF baada ya CCM kukwamisha Muafaka kwa madaia yake mapya ya Kura ya Maoni, Aprili 1, 2008

Iliyokuwa timu ya CUF katika mazungumzo na CCM ikiongozwa na Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad, kuelekea ukumbi wa mikutano wa CUF, Buguruni, Dar es Salaam, kuzungumza na waandishi wa habari juu ya msimamo wa CUF baada ya CCM kukwamisha Muafaka kwa madai mapya ya Kura ya Maoni, Aprili 1, 2008

“Uzushi na upotoshaji hauwezi kuisaidia CCM ambayo inapoteza kwa kasi uhalali wa kisiasa kama chama chenye dira na mwelekeo hapa nchini. CCM inapaswa ijirudi na ijisahihishe kama inataka ikubalike kuwa ni chama makini mbele ya macho ya Watanzania na jumuiya ya kimataifa. Kujidanganya kwamba wataendelea kufanya mchezo wa kitoto wa mazungumzo yasiyokwisha na baadaye kufikia Miafaka ambayo hawana nia ya kuitekeleza sasa hakuwasaidii tena maana Watanzania wameamka. ..

Ufafanuzi wa CUF dhidi ya upotoshaji wa CCM

 

Read the rest of this entry »





CUF disappointed by CCM’s rejection to Zanzibari Muafaka

8 08 2008

“It is now evidently clear that CCM entered the negotiation without genuine desire

CUF General Secretary, Mr Seif Sharif Hamad, presenting his party's standpoint following CCM refusal to go for Muafaka on 1st April, 2008, Buguruni - Dar es Salaam

CUF General Secretary, Mr Seif Sharif Hamad, presenting his party's standpoint following CCM refusal to go for Muafaka on 1st April, 2008, Buguruni - Dar es Salaam

and intention to resolve the political crisis in Zanzibar. It seems the sole purpose of CCM in participating in the talks was to con the Tanzanians and International Community. By so doing they were cheating themselves that they could politically control CUF by dangling a carrot through strategic engagement, while prolonging the talks until the election time without tackling the issue. It is now abundantly clear that CCM has no interest of the nation at heart and has no wish to see that national unity and lasting peace is achieved in Zanzibar which is an integral part of the United Republic.”

Statement by Civic United Front (CUF) following a statement by National Executive Committee (NEC) of CCM regarding the negotiations on Political Stalemate in Zanzibar

Read the rest of this entry »





Of Referendum and CCM: The frog’s kiss that will kill Muafaka

8 08 2008

CUF supporters in a political company towards 2005 general elections in Zanzibar. These elections were again marred with intensive state organized terrorism and humal rights violation. Ultimately CUF could not recognise the results which announced Mr Amani Karume a winner for the Islands' presidential position

CUF supporters in a political campaign towards 2005 general elections in Zanzibar. These elections were again marred with intensive state organized terrorism and human rights violation. Ultimately CUF could not recognise the results which declared Mr. Amani Karume a winner for the Islands' presidential position. Since then, and due to other two previous elections, Zanzibar has been trapped in what so known as Mpasuko wa Kisiasa

“Major political decisions in the country’s history have been taken without subjecting them to a referendum. Examples are numerous but to mention a few: the unification of Tanganyika and Zanzibar in 1964, the abolition of multi-party system in 1965, the Arusha Declaration of 1967, the merger of TANU and ASP in 1977, the Union Constitution of 1977 and all major amendments, the Zanzibar Constitutions of 1979 and 1984, the re-introduction of multi-party system in 1992, the 11th Amendment of the Union Constitution in 1994 that removed the position of Zanzibar President from being automatically one of the Union Vice Presidents, Muafaka I of 1999 and Muafaka II of 2001.”

An article by Ismail Jussa to the African Liberal Network Website after the fall of the 3rd Muafaka talks between the Civic United Front (CUF) and the ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) in which CCM came with the new idea of a referendum.

Read the rest of this entry »